Aliyekuwa Katibu Mkuu wa Kuchaguliwa Klabu ya Yanga, Lucas Kisasa (kulia) akimkabidhi Katibu wa kuajiriwa, Laurance Mwalusako,nyaraka mbalimbali za kazi Makao Makuu ya Klabu hiyo Dar es salaam anaeshughudia katikati ni Mwenyekiti wa Yanga, Imani Madega.(Picha na Rajabu Mhamila)
Katibu mkuu wa zamani wa klabu ya Yanga Lucas Antony Kisasa amemkabidhi Nyaraka mbalimbali Katibu Mkuu wa kuajiriwa Laurence Mwalusako, makabidhiano yaliyofanyika katika maskani ya klabu ya Jagwani jijini Dar es Salaam.
Akimkabidhi Nyaraka Lucas Kisasa amewashukuru wanachama na wadau wa klabu hiyo kwa ushirikiano wao waliompa kwa muda wake wote wa Uongozi na amehadi kushirikiana nao kwa kila jambo.
Kisasa amesema mrithi wa nafasi yake anamfahamu vizuri hivyo anamkabidhi nafasi hiyo kwa moyo mkunjufu na ana amini atafanya vizuri.Jengo la Yanga linazidi kupendeza kufuatia ukarabati mkubwa unaofanywa na klabu hiyo.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment