Habari zilizotufikia hivi punde zinasema aliyekuwa mume wa Amina Chifupa Meddy Mpakanjia amefariki dunia muda si mrefu baada ya kuugua kwa muda habari zimeenea jijini na kumekuwepo na mawasiliano mbalimbali ya ujumbe wa maneno kwa njia ya simu unaotumwa kwa wadau mbalimbali
Inasemekana Mohamed Mpakania amefariki katika Hospitali ya Lugalo alikokuwa amelazwa kwa matibabu
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment