Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, May 8, 2011

BONANZA LA KUPIGA VITA MALARIA LAFANA SHULE YA MAKONGO


Baadhi ya washiliki wakionesha mavazi yao ya ubunifu wakati wa bonanza la kupiga vita malaria lililofanyika Dar es Salaam jana na kudhaminiwa na Kampuni ya Pepsi na Jalida la Namba Teni
Mmoja ya washiliki akipita na vazi la ubunifu wakati wa tamasha hilo lililofanyika Dar es salaam jana na kudhaminiwa na Kampuni ya Pepsi, Jarida la namba Teni
Wanafunzi wakijadiliana kabla ya tamasha hilo
Wanafunzi wakipanga mikakati watakavyokua uwanjani
Kila mshiliki alionesha vazi lake kwa ustadi mkubwa
Vazi la kimasai linalopendwa na watu wengi Duniani lilikuwepo

No comments :

Post a Comment