Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, May 31, 2011

NSA JOB SASA ATIMKIA ULAYA

Aliyekuwa mshambuliaji wa Klabu ya Yanga,Nsa Job, anatarajiwa kuondoka nchini kwenda nchini Sweden kwa ajili ya kufanya majaribio katika Klabu moja nchini humo inayoshiriki ligi daraja la kwanza.Akizungumza na mtandao wa Klabu ya Yanga,Job amesema tayari mipango yote imekamilika chini ya wakala wake Nyupi Mwakikosa ambaye anasimamia shughuli zote za kujiunga na Klabu hiyo.Hata hivyo Nsa Job amesema hadi sasa hajafahamishwa kikamilifu juu ya Klabu anayokwenda kufanya majaribio lakini tayari wakala wake amemhakikishia kuhusu majaribio hayo na ameeleza kuwa hata ikishindikana zipo Klabu mbili za America ya Kusini tayari amekwisha fanya mazungmzo nayoNsa amesema safari yake itakuwa ni ya tarehe 20/6/2011 anatarajia kuondoka na shirika la ndege la KLM.

No comments :

Post a Comment