Aliyekuwa mshambuliaji wa Klabu ya Yanga,Nsa Job, anatarajiwa kuondoka nchini kwenda nchini Sweden kwa ajili ya kufanya majaribio katika Klabu moja nchini humo inayoshiriki ligi daraja la kwanza.Akizungumza na mtandao wa Klabu ya Yanga,Job amesema tayari mipango yote imekamilika chini ya wakala wake Nyupi Mwakikosa ambaye anasimamia shughuli zote za kujiunga na Klabu hiyo.Hata hivyo Nsa Job amesema hadi sasa hajafahamishwa kikamilifu juu ya Klabu anayokwenda kufanya majaribio lakini tayari wakala wake amemhakikishia kuhusu majaribio hayo na ameeleza kuwa hata ikishindikana zipo Klabu mbili za America ya Kusini tayari amekwisha fanya mazungmzo nayoNsa amesema safari yake itakuwa ni ya tarehe 20/6/2011 anatarajia kuondoka na shirika la ndege la KLM.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment