Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, May 29, 2011

YALIYOJIRI KATIKA NUSU FAINALI YA KUMSAKA KIMWANA MANYWELE WA TWANGA PEPETA 20011 NDANI YA CLUB SUN CIRO


Mkurugenzi wa Kampuni ya The African Stars Entertainment (ASET),Asha Baraka akizungumza ndani ya Club SunCiro, katika shindano hilo la nusu fainali lililofana.

Kutoka kushoto ni MC Sauda Mwilima, Mratibu wa shindano hilo Maimatha Jesse (Mai), Asha Baraka na Khadija Kalili.
Washiriki wa shindano hilo wakiwa jukwaani katika shindano la kumsaka Kimwana wa Twanga 2011

Miondoko ikiendelea nyoka zikakatwa kila mmoja kwa umahiri wake aliojaaliwa.
Migongo ikapindwa basi ilimradi ilikuwa rahaaaaa.

Hapa kazi ikiendelea.


Majaji akiwamo Mtangazaji wa Kituo Cha Redio Clouds Gerald Hando wakiwatendea haki washiriki aliyeketi ni aliyekuwa mshindi wa pili wa shindano la Kimwana Manywele 2007 Husna Idd

No comments :

Post a Comment