Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, May 15, 2011

MSONDO COAST MORDEN TAARABU WAFANYA KWELI DDC KARIAKOO




Mwimbaji Shabani Dede akiwajibika






Waimbaji wa bendi ya taarabu ya coast morden taarabu wakiimba wakati wa onesho lao lililofanyika mwishoni mwa wiki kutoka kushoto ni Wastara Omari,Aisha Masanja, Hanifa Juma na Samira Rajabu

Mashabiki wa bendi ya msondo ngoma wakicheza sambamba na rapa wa bendi hiyo Romani Mngan'de wakati wa onesho la zote kali lililofanyika Dar es salaam
Mpiga gita la solo wa kundi la Coast morden taarabu, Kipanga Pindo akienda sambamba na mpiga kinanda wa bendi hiyo Ally Kabua wakati wa onesho lao lililofanyika DDC Kariakoo


Mwimbaji wa bendi ya msondo ngoma Hassani Moshi TX JR akiimba sambamba na mpiga gita la rithimu wa bendi hiyo Zahoro Bangwe wakati wa onesho lao lililofanyika DDC Kariakoo

No comments :

Post a Comment