Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, May 10, 2011

TBL Yapata Tuzo Ya Usafi, Mazingira Na Usalama Kazini


Meneja wa uhusiano wa kampuni ya Bia ya TBL Edith Mushi akiwa ameshika cheti na kikombe cha ushindi wa tuzo ya Afya na Usalama sehemu za Kazi, tuzo ambayo kampuni ya bia ya TBL imepata. Tuzo hizo zimeandaliwa na kutolewa na Mamlaka ya Afya na Usalama sehemu za kazi, mamlaka iliyo chini ya Wizara ya Kazi, Ajira na Vijana

Meneja Afya, Usalama na Mazingira Renatus Nyanda akizungumzia juu ya ushindi ambao kampuni ya TBL imepata. Nyanda alisema kuwa usafi na afya kazini ni moja kati ya vipaumbele muhimu sana vya kampuni ya Bia ya TBL.

Meneja wa Afya Mazingira na Usalama kazini Renatus Nyanda akimkabidhi 
Kikombe na  cheti cha ushindi wa tuzo  za afya na usalama
 kaziniMeneja wa mawasiliano na uhusiano wa kampuni ya Bia ya TBL Edith 
Mushi mapema leo makao ya TBLl Ilala jiini Dar es Salaam.

No comments :

Post a Comment