Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, May 17, 2011

PELE APONDA KIWANGO CHA MESSI


MKONGWE wa soka Duniania mzaliwa wa Brazili Pele kwa mara nyingine tena amehoji dhidi yam kali wa soka wa Barcelona Lionel Messi na kusema kwamba hajawa na mafanikio makubwa ya kuweza kumlinganisha na wakongwe wengine waliyowahi kutamba katika soka ulimwenguni.

Messi, mshindi wa tuzo ya Ballon d’Or kwa misimu miwili iliyopita amekuwa akifahamika zaidi kuwa ndiye mwanasoka bora kwa sasa duniani. Lakini pia pia kuna madai kuwa nyota huyo mwenye umri wa miaka 23 anataka kuwa mwanasoka bora wa muda wote kama alivyo Pele.

Hata hivyo, Pele amekataa kuamini hivyo na kumataja Messi kuwa ni mchezaji wa kiwango cha chini katika timu ya taifa ya Argentina.

Kwa mujibu wa gazeti maarufu nchini Chile La Tercera, mshambuliaji huyo wa zamani wa klabu ya Santos amesema hafanan na hao watu ambao Messi amewataja kuwa anataka kuwa na mafanikio ya juu katika soka huku akiwasahau watu waliyofanya makubwa kama kina Johan Cruyff, Michel Platini na Alfredo Di Stefano, ambao walikuwa bora zaidi ya Lionel Messi.”

No comments :

Post a Comment