Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, May 2, 2011

KAMBI YA ILALA YAMPA SAPOTI MBWANA KUMDUNDA MKENYA












Mbwana Matumla akiojiwa baada ya kutetea ubingwa wake jana


Mdau wa ngumi akimvisha mbwana wake kushoto ni kocha wa ngumi Habibu Kinyogoli ambaye anaendesha mafunzo hayo Ilala Dar es Salaam




Refarii Antoni Ruta Akimwesabia Gabrier Ochuang baada ya kupata kichapo cha haja




Damu nzito kuliko maja bondia mkongwe Rashidi Matumla (kulia) akimpatia maelezo mdogo wake Mbwana Matumla wakati wa pambano lake la kutetea Ubingwa wa UBO lililofanyika Dar es salaam jana Mbwana alishinda kwa point na kutetea vema rtaji lake kushoto ni kocha Habibu Kinyogori
Ufundi wa kutupiana makonde ukiendelea
Giblbert Ochieng akioneshana ufundi wa kutupa makonde na Mbwana Matumla jana

No comments :

Post a Comment