Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, May 20, 2011

SHEKH YAHYA AFARIKI DUNIA

Mtabili maarufu wa nyota nchini, Shekh Yahya Husein amefariki Dunia leo saa tano kasoro robo (4:45) asubuhi njiani akiwahishwa katika Hospitali ya Mount Ukombozi Moroko jijini Dar es Salaam






Akizungumza na Mtandao huu Daktari wa zamu wa Hospitali hiyo,DK.Lehani Salum alisema alifukishwa katika Hospitali hiyo akiwa ameshafariki lakini kwa presha za Watoto wake wasingeweza kutambua.



Mtoto wa marehemu,Hassan Yahya alisema shughuli za mazishi zitakuwa kesho kwenye makabu ya Tambaza mchana saa saba na kabla ya hapo watakuwa nyumbani kwake Magomeni



Marehemu Shekh Yahya ameacha Mjane na Watoto zaidi ya 20 na wajukuu ambao hawajulikani idadi yao.


Ndugu jamaa na marafiki wa familia wakimfariji Mke wa marehemu wa pili kushoto.



Wakielekea msibani



Ndugu jamaa na marafiki wakiwa msibani


Shekh wa Mkoa na Mtoto wa marehemu



Shekh wa Mkoa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu taratibu za mazishi


Mwili wa marehemu ukihamishwa kutoka kwenye Hospitali ya Mount Ukombozi kuelekea Msikitini kwa kuhifadhi zaidi



Wakihamisha mwili wa Shekh

No comments :

Post a Comment