Waliokuwa washitakiwa katika kesi ya wizi wa Sh. bilioni 1.8 katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Farijara Hussein na binamu yake Rajabu Rajabu Maranda wamehukumiwa leo katika Mahakama ya Hakim Mkazi, Kisutu jijini Dar es Salaam, kifungo cha miaka mitano jela na kurudisha serikalini fedha hizo. Picha kutoka Kamanda wa Matukio
MWENEZI PWANI : HOTUBA YA MHE.RAIS SAMIA IMETOA DIRA YA MATUMAINI KWA TAIFA
LETU
-
Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo CCM Mkoa wa Pwani Dkt. David Mramba.
Na Mwandishi Wetu, Kibaha
Katibu wa Siasa ,Uenezi na Mafunzo Cha Mapinduzi...
1 hour ago
No comments :
Post a Comment