Waliokuwa washitakiwa katika kesi ya wizi wa Sh. bilioni 1.8 katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Farijara Hussein na binamu yake Rajabu Rajabu Maranda wamehukumiwa leo katika Mahakama ya Hakim Mkazi, Kisutu jijini Dar es Salaam, kifungo cha miaka mitano jela na kurudisha serikalini fedha hizo. Picha kutoka Kamanda wa Matukio
BONDIA MLUNDWA NA MBISE WAMLILIA MSOMBA
-
Mamia ya wakazi wa Dar es Salaam na Kibaha Mkoa wa Pwani wamejitokeza kwa
wingi katika mazishi ya aliyekua bondia mkongwe Lucas Msomba.
Akizungumza ka...
1 day ago
No comments :
Post a Comment