Waliokuwa washitakiwa katika kesi ya wizi wa Sh. bilioni 1.8 katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Farijara Hussein na binamu yake Rajabu Rajabu Maranda wamehukumiwa leo katika Mahakama ya Hakim Mkazi, Kisutu jijini Dar es Salaam, kifungo cha miaka mitano jela na kurudisha serikalini fedha hizo. Picha kutoka Kamanda wa Matukio
BALOZI MATINYI AWASILISHA NAKALA ZA HATI YA UTAMBULISHO ALGERIA
-
Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, akiwasilisha
nakala za hati za utambulisho kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria, Mhe.
Ahmed At...
1 day ago
No comments :
Post a Comment