Waliokuwa washitakiwa katika kesi ya wizi wa Sh. bilioni 1.8 katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Farijara Hussein na binamu yake Rajabu Rajabu Maranda wamehukumiwa leo katika Mahakama ya Hakim Mkazi, Kisutu jijini Dar es Salaam, kifungo cha miaka mitano jela na kurudisha serikalini fedha hizo. Picha kutoka Kamanda wa Matukio
BALOZI MATINYI AKUTANA NA WAWEKEZAJI WA SWEDEN, AELEZEA FURSA ZA UWEKEZAJI
-
Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Mobhare Matinyi (katikati), akiwa
katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyabiashara na wawekezaji wa Sweden
na...
45 minutes ago
No comments :
Post a Comment