Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, May 15, 2011

NANI MCHACHAFU KUINGIA SOKONI







MSANII wa vichekesho nchini Songoro Ally 'Dizzo' baada ya kutamba na filamu za 'Maiti ya Ajabu' MKuki kwa Nguluwe' na anko JJ amesema amepanga kuwaletea radha tofauti tofauti na kuwabadilisha wasanii akizungumzia filamu yake mpya ya 'Nani Mchafu' aliyoitunga yeye na kuwashilikisha wasanii wakali katika Comedy akiwemo Haji Salumu Mboto' Rajabu Jumanne 'Danny'.

Ambaye alikuwa ameshiliki kikamilifu katika filamu ya nani mtoto wa mama humo amembadilisha na kuweza kufikia kiwango cha kisanii ili kuwapa radha tofautitofauti wadau na wapenzi wa filamu

Filamu hiyo itakayokuwa inasambazwa na kampuni ya B4yuo inatalajia kuingia sokoni mda wowote kuanzia sasa hivyo kuwataka wapenzi kukaa mkao wa kula kwa ajili

No comments :

Post a Comment