Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, May 22, 2011

BONANZA LA MICHEZO KUTOKOMEZA UGOJWA WA MALARIA LAFANYIKA SHULE YA NEEMA TRUST


Baadhi ya wanafunzi wakishiliki mchezo wa mpira wa pete kabla ya mechi



Mwenyekiti akizungumza wakati wa bonanza hilo jana
Wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Kondo wakiigiza igizo la kupiga vita ugojwa wa Malaria wakati wa bonanza la kupiga vita ugojwa huo lililofanyika katika shule ya Neema Trust Dar es Salaam
Mwalimu wa MIchezo wa Shule ya Sekondari Kondo Josefu Mng'ong'o akiwapatia wachezaji wake maelekezo kabla ya mechi
Kocha wa Michezo shule ya Sekondari Andrew Faza Munuo James akiwaelekeza wachezaji wake kabla ya kuingia uwanjani
Wanafunzi wa shule ya Sekondari ya Cornelious wakiigiza igizo la kupiga vita ugojwa wa Malaria wakati wa bonanza la kupiga vita ugojwa huo lililofanyika katika shule ya Neema Trust Dar es Salaam

No comments :

Post a Comment