Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, May 9, 2011

Fiesta Free Style ndani ya Zanzibar



Wakazi wa mji Mkongwe na vitongoji vyake mjini Zanzibar wakiwa wamejitokeza kwa wingi jana jioni kwenye tamasha la Msimu wa Dhahabu unaoendelea pamoja na Serengeti Fiesta Free Style 2011.
Pichani ni washiriki waliongia Robo Fainali ndani ya Ngome Kongwe, washiriki waliojitokeza walikuwa 24, na wamebaki washiriki nane ambapo anatafutwa mkali mmoja tu.
Pichani anaeongea ni mtangazaji wa Clouds Fm, Fatma Hassan a.k.a Dj Fetty akitoa muongozo kwenye mchakato wa kumtafuta mkali wa Serengeti fiesta freestyle 2o11.

Baadhi ya wana wa Clouds Tv nao wakifuatilia kwa makini shindano la

No comments :

Post a Comment