Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, May 2, 2011

MWANI NYANGASA NDANI YA KOZI YA FIFA SENEGAL







Mwandishi wa habari za michezo wa gazeti la The African, linalochapishwa na Kampuni ya New Habari (2006) Ltd, yenye Maskani yake Sinza Kijiweni jijini Dar es Salaam, Mwani Nyangasa (katikati) akifurahia baada ya kukabidhiwa Cheti cha ushiriki wake katika Kozi ya AFP/FIFA ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Kombe la Dunia la Wanawake linalotarajia kufanyika German. Kozi hiyo inatarajia kumalizika wiki hii.
Mwani Nyangasa (kushoto) akiwa na mashosti wake yaani waandishi wenzake kutoka nchi mbalimbali, waliohudhulia kozi hiyo kwa pamoja, hapa wakipiga picha ya kumbukumbu.

" Eheee!, nimekumbuka pozi la picha kama Joti hebu piga picha haraka kabla sijalisahau", Mwani Nyangasa (kushoto) akiwa ni kama anasema maneno hayo huku akifurahia picha hiyo na mashosti wake.








Mwani Nyangasa (kulia) akipozi kwa picha na rafikiye pembeni ya basi wanalotumia kwa usafiri wa ndani ya nchi hiyo katika shughuli hiyo ya Kozi

No comments :

Post a Comment