Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, May 24, 2011

MATAKA AJIVUA GAMBA ATCL


MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Ndege Tanzania (ATC), David Mataka (60) ametangaza kustaafu.
Mataka alitangaza hatua yake hiyo katika ukumbi wa mikutano wa ATC mbele ya waandishi wa habari huku akimtupia lawama Rais mstaafu wa awamu ya tatu Benjamin Mkapa kwa kumsimamisha kazi kipindi cha utawala wake.
Mataka alikumbwa na kadhia hiyo wakati wa utawala wa Mkapa alipokuwa mfanyakazi wa Mfuko wa Pensheni wa Mashirika ya Umma (PPF) na kumsimamisha kazi ili kupisha uchunguzi kutokana na kashfa ambazo zilikuwa na lengo la kumchafulia jina.
"Sijafukuzwa kazi ila nimestaafu kutokana na umri wangu kisheria kunitaka nifanye hivyo.....Nimezaliwa May 11 , 1951 , hivyo tayari nimetimiza miaka 60", Alisema.
http://mamapipiro.blogspot.com/

No comments :

Post a Comment