MKUU wa Kitengo cha Interneti katika wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Vodacom, Candise Rato (Wapili Kushoto), akimuonyesha Kaimu Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Saidi Mecky Sadick (wa tatu kushoto) jinsi ya kupata huduma za Tv kupitia Dstv katika simu zenye mdandao wa Vodacom. Kulia ni Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Vodacom, Peter Correia na kushoto ni Mkuu wa Biashara na Masoko wa Dstv, Martin Mabutho.
Wanamuziki Enika na Saganda wakitumbuiza wakati wa uzinduzi huo.
TUME YA HAKI ZA BINADAMU YAWAFUNDA MAFIA
-
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora imeendesha mafunzo ya uzingatiaji
wa haki za binadamu katika ufikiaji, upatikanaji na usimamizi wa rasilimali ...
11 hours ago
No comments :
Post a Comment