MKUU wa Kitengo cha Interneti katika wa Kampuni ya Simu za Mkononi ya Vodacom, Candise Rato (Wapili Kushoto), akimuonyesha Kaimu Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Saidi Mecky Sadick (wa tatu kushoto) jinsi ya kupata huduma za Tv kupitia Dstv katika simu zenye mdandao wa Vodacom. Kulia ni Ofisa Mwendeshaji Mkuu wa Vodacom, Peter Correia na kushoto ni Mkuu wa Biashara na Masoko wa Dstv, Martin Mabutho.
Wanamuziki Enika na Saganda wakitumbuiza wakati wa uzinduzi huo.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment