Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, May 19, 2011

MAANDALIZI YA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA







Shughuli nzima ya leo ilikuwa ni kukamilisha utengenezaji wa video mpya inayokwenda kwa jina la Miaka 50 ya Uhuru. Audio ya wimbo huo umetengenezwa pale Fishcrab chini ya mtu mzima Lamar, video imetengenezwa na Adam Juma kutoka Visual Lab Next Level.





Wasanii walikuwa wengi sana siwezi kuwataja wote ila utawagundua kwa sura na majina nitakayoyaweka chini ya picture.




Godzilla kutoka Salasala




Mbunifu wa mitindo anayejulikana kwa jina la Vida Mahimbo, tishet zote nyeupe mnazoziona yeye na Ally ndio wamezitendea haki.




Keisha akiwa kwenye tabasamu pala sana




Madee akilisikilizia jua maana lilikuwa linapiga




Fella meneja wa Wanaume TMK Family akiwa na Mwana FA wakibadilishana mawazo






Kampuni ya Visual Lab ikiwa kazini







Dullah wa Planet Bongo nae alikuwepo na crew yake nzima kutoka EATV




Dully na Arafat Ngumi Jiwe






AY




Fid Q




Kassim Mganga




Amin kutoka THT










Mr. Blue na watatu ni Shetta pamoja na Diamond








Ally Rehmtullah mbunifu wa mavazi




Mpoto na Vida










Mwana FA & Rehema




























No comments :

Post a Comment