Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, May 22, 2011

WASHINDI WA PROMOSHENI YA 'COOPLES REFRESH' WAPEWA ZAWADI ZAO NA ZANTEL


Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Matukio wa Kampuni ya simu ya Zantel Bw. Wiliam Mpinga (kushoto) akimkabidhi koponi Bw.Fadhili Mfinanga, Dar es salaam juzi kwa ajili ya kupata chakula cha mchana baada ya kushiliki katika promosheni ya 'Couples Refresh' baada ya kutuma meseji nyingi ambapo katika promosheni hiyo zawadi kubwa ilikuwa safari ya kwenda mbuga ya Serengeti na washindi 5 walijishindia dola 500
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Matukio wa Kampuni ya simu ya Zantel Bw. Wiliam Mpinga (kushoto) akimkabidhi koponi Bw.Erick Mwakibinga, Dar es salaam juzi kwa ajili ya kupata chakula cha mchana baada ya kushiliki katika promosheni ya 'Couples Refresh' baada ya kutuma meseji nyingi ambapo katika promosheni hiyo zawadi kubwa ilikuwa safari ya kwenda mbuga ya Serengeti na washindi 5 walijishindia dola 500

No comments :

Post a Comment