Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, April 17, 2013

BI KIDUDE HATUNAE TENA DUNIANI



HABARI zilizoufiki mtandao huu hivi punde zinaeleza kuwa mwimbaji mahirina mkongwe  wa miondoko ya  taarab, Fatma Baraka , ama Bi Kidude amefariki dunia mchana huu.
Kwa mujibu wa Mjukuu wa marehemu, Fatuma Kidude amesema kuwa bibi yake amefariki nyumbani kwa mtoto wa kaka yake maeneo ya Bububu, mjini Zanzibar.
Fatma ambaye naye pia ni mwimbaji wa kundi la Gusa Gusa la Dar es Salaam ameongeza kuwa bado taratibu za mazishi zinaendelea kufanyika lakini mwili wa marehemu unahamishwa  nyumbani kwake Raha Leo.

Bi Kidude alianza kusumbuliwa na maradhi  mwaka jana, lakini baadaye akapata ahueni na kufanya mahojiano hadi na vyombo vya habari, lakini ghafla mambo yakabadilika tena na kulazwa katika hospitali ya Hindu Mandal, Dar es Salaam.
Baada ya matibabu akaambiwa asiimbe tena na tangu Machi mwaka jana hajapanda jukwani.

No comments :

Post a Comment