Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, April 30, 2013

Bigright amrudisha kaseba Ulingoni




bondia kamandawamakanda kushoto akitunishiana misuli na ibrahim maokola baada ya kusaini pambano lao
bingwa wa kike na msaidizi wa promota pendo njau akisimamia zoezi la usainishaji wa mikataba ya mabondia,likiwemo pambano la kuondoa utata kati ya kamanda na maokola,.bigright jafet kaseba na mabondia wengi walishuhudia

Bondia jafet kaseba anategema kupanda tena ulingoni mwanzoni mwa mwezi wa sita kuzipiga na bondia toka kenya joseph magudha katika mpambano wa kimataifa. hivyo maandalizi yamekwishaanza kwa kuwaanda mabondia watakaocheza utangulizi,kwa kuweka mapambano makali likiwemo la kamanda wa makamanda atakaezipiga na ibrahim maokola. mwanzoni maokola alikuwa amepangwa azipige na bondia toka moro na kamanda kupewa bondia mwingine, lakini kulitokea kupishana kwa maneno kati ya mabondia hao kiasi cha kutaka kupigana kavu, mabondia na viongozi waliokuwepo hapo akiwemo ibrahim kamwe walipendekeza ibadilishwe wapinzani na wawili hao wazipige kukata ngebe na majigambo ya ubabe waliyokuwa wakitupiana.mpaka sasa mapambano ya utangulizi inategemea kuwa juma seleman atazipiga na issa omar,juma fundi atapigana na moro best, yohana mathayo atazipiga joseph onyango toka kenya. na mapambano mengine yatajulishwa hapo baadae zoezi la usainishaji mikataba likikamilika

No comments :

Post a Comment