Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo amepokea hati za utambulisho kutoka kwa
mabalozi wanne wanaoziwakilisha nchi zao hapa.Walioziwasilisha hati zao
ni pamoja na Balozi Mpya wa Morocco nchini Tanzania Mhe.Abdelilah
Benryane, Balozi mpya wa Hungary Mhe.Sandoz Juhasz,Balozi mpya wa
Austria Mhe. Christian Hasenbichler na Balozi Mpya wa Chille nchini
Mhe.Konrad Paulsen.Pichani Balozi Mpya wa Morocco Mhe.Abdelilah Benryane
akiwailisha hati zake za utambulisho kwa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
ikulu jijini Dar es Salaam leo asubuhi.Picha na Freddy Maro-IKULU
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment