Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, April 21, 2013

HUDUMA ZA NSSF ZAVUTIA WENGI KATIKA MAONESHO YA HUDUMA ZA HOSPITALI YA MUHIMBILI



 Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mh.Ummy Mwalimu akimkabidhi cheti Ofisa Uhusiano Huduma kwa wateja wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Maife Kapinga wakati wa hafla ya kufunga Maonesho ya Huduma za Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es salaam.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dk. Merina Njelekela akisoma hotuba yake wakati wa kufunga maonesho ya Huduma za Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam.
  Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mh.Ummy Mwalimu akisoma hotuba yake wakati wa hafla ya kufunga Maonesho ya Huduma za Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es salaam.
Watu mbalimbali wakipata maelezo ya huduma za NSSF ikiwemo Fao la matibabu.
 Baadhi wa wadau waliojitokeza katika maonesho hayo.
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mh.Ummy Mwalimu akiweka sahihi katika kitabu cha wageni wakati alipotembeklea banda la NSSF. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dk. Merina Njelekela.

No comments :

Post a Comment