Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, April 25, 2013

Msondo Ngoma yapeleka mpya Magereza



Waimbaji nyota wa Msondo Ngoma, Shaaban Dede 'Kamchape' na Juma Katundu 'JK wa Msondo'
BENDI kongwe ya muziki wa dansi ya Msondo Ngoma,  inatarajiwa kuwapelekea burudani mashabiki wao wa maeneo ya Mtoni kwa Aziz Ali na Magereza Ukonga.
Msemaji wa Msondo, Rajabu Mhamila 'Super D' aliiambia MICHARAZO kuwa, bendi yao imeongeza ratiba ya kutoa burudani wiki hii kwa mashabiki wa maeneo hayo.
Alisema Msondo inayojiandaa kupakua albamu mpya ya 'Suluhu' leo itatoa burudani Mtoni kwa Aziz Ali kabla ya kesho kwenda Magereza Ukonga.
"Jumatano na Alhamisi tutakuwa tukitoa burudani katika maeno hayo, na Ijumaa hadi Jumapili ratiba inabaki kama ilivyo," alisema.
Alisema kwa kuwakumbusha mashabiki wao, Ijumaa hufanya vitu vyao Leaders na Jumamosi  huwa TCC Chang'ombe na Jumapili watavuka bahari hadi Kigamboni.
"Jumapili tutakuwa G-Five Kigamboni, ambapo Msondo itapiga nyimbo za zamani na mpya zilizoifanya iitwe Baba ya Muziki," alisema.

No comments :

Post a Comment