Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, April 12, 2013

MZEE CHILO AWACHANA LAIVU WASANII WANAOVAA NUSU UCHI



STAA wa filamu za Kibongo, Ahmed Uloto ‘Mzee Chilo’ amewachana wasanii wa filamu wanaovaa nusu uchi huku akieleza kuwa, kufanya hivyo ni kuiabisha tasnia ya fimlamu Bongo.

Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Mzee Chilo alisema amekuwa kwenye tasnia hiyo kwa muda mrefu sana na kuwashudia wasanii kama vile Suzan Lewis ‘Natasha’ na mama Mjata wakiigiza filamu zao kiheshima lakini siku hizi anashangazwa na uvaaji unaokiuka maadili, si kwenye filamu tu bali hata kwenye maisha yao ya kila siku.

“Mbona kuna hawa wakongwe ambao wanaigiza vizuri na kufikisha ujumbe bila kuvaa nusu uchi? Kwa kweli hali sasa hivi ni mbaya na wasanii hasa wa kike wanatakiwa kujirekebisha wanapokuwa wanaigiza na hata kwenye maisha yao ya kawaida,” alisema Mzee Chilo.

No comments :

Post a Comment