Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, April 12, 2013

DIAMOND PLATUNUM, HUYOOOOOOOOOOOO DRC-CONGO




Msanii wa kizazi kipya, Naseeb Abdul a.k.aDiamond Mei 11 mwaka huu amealikwa kwenye tamasha la Uvira, Litakalofanyika katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

Tamasha hilo limepangwa kufanyika katika ukumbi wa De L' Unite uliopo katikati ya jiji la Kongo DRC. Akithibitisha mwaliko huo Diamond amefurahi kualikwa ambapo atakutana na wasanii wengine kutoka nchi mbalimbali. Pia amesema kuwa hatawaangusha mashabiki wake huko na pia amesema kuwa tayari ameanza kuandaa staili ya aina yake mpya ya kuwaburudisha mashabiki kisawasawa.

Alisema " Kama kawaida yangu huwa sibahatishi katika kazi zangu, hivyo najipanga kuandaa Staili mpya ili kuwaburudisha mashabiki wangu.
Diamond siku hiyo hatakuwa peke yake atakuwa na Crew yake.

No comments :

Post a Comment