Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, April 17, 2013

FAR RABAT WAWASILI NA MATUMAINI KIBAO








NAHODHA wa timu ya Far Rabat Bellakhdar Younes amejigamba timu yake kuifunga Azam FC mabao 2-0 kwenye mchezo wa kombe la shirikisho barani Afrika utakaochezwa uwanja wa Taifa jumamosi hii.
Younes aliyasema hayo wakati walipowasili uwanja waNdege wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam tayari kwa mchezo huo wa raundi ya pili.
“Timu yetu ni nzuri na Azam pia ni wazuri kwani wana wachezaji waliopo kwenye timu ya taifa hivyo tutahakikisha tunafunga mabao 2-0 ili iwe rahisi wakija nyumbani”, alisema Younes.
Wachezaji wa Far Rabat ambao wapo kwenye timu ya Taifa ya Morocco ni Hammal Younes, Achchakir Abderrahim, Bellakhdar Younes, Saidi Salaheddine, Aqqal Salaheddine na Youssef Kaddior.
Timu hiyo imewasili ikiwa na msafara  wa watu 31 na umefikia kwenye hoteli ya Saphire iliyoko Kariakoo.

No comments :

Post a Comment