Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, April 24, 2013

Katibu Mkuu Dr Wilbrod Slaa,Mbunge wa Ubungo John Mnyika,Mbunge wa Mbeya joseph Mbilinyi aka Sugu, Mbunge wa Iringa Mjini Mchungaji Peter Msigwa,Mbunge wa Ilemela Ezekiel Wenje Waung'uruma




 Mbunge wa iringa mjini Mchungaji Peter Msigwa(juu ya gari kulia)na mbunge wa ilemela Ezekiel Wenje wakiwasili iringa kwa ajili ya mkutano mkubwa wa hadhara jana
Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbrod Slaa(juu ya gari Kulia na Mbunge wa Chadema Ubungo John Mnyika wakiwa kwenye msafara wa kuelekea kwenye mkutano mkubwa wa hadhara iringa mjini Jana
Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Mwembetogwa, Iringa. 
 Mbunge wa Mbeya mjini- Joseph mbilinyi aka Sugu akiunguruma kwenye mkutano mkubwa  wa hadhara wa chadema kwenye viwanja vya  Uwanja wa Mwembetogwa iringa jana
Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbrod Slaa Akiunguruma mbele ya mamia ya wafuasi wa chadema kwenye mkutano mkubwa wa hadhara kwenye viwanja vya Uwanja wa Mwembetogwa iringa jana
 Katibu Mkuu wa Chadema Dr Wilbrod Slaa Kushoto akipitia katiba kwenye mkutano mkubwa wa hadhara uliyofanyika iringa jana kulia kwake ni mbunge wa jimbo la ubungo Mh John Mnyika
 Sehemu ya mamia ya wafuasi wa chadema wakisiliza hotuba mbalimbali kutoka kwa viongozi mbalimbali wa chama hicho viwanja vya Uwanja wa Mwembetogwa iringa jana. Picha Zote na Chadema na Said Ng’amilo
--
Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa amemlipua kigogo mmoja wa juu wa CCM (jina tunalihifadhi kwa kuwa hakupatikana kujibu tuhuma hizo), kuwa ndiye kinara wa biashara haramu ya pembe za ndovu na utoroshaji wa wanyama nchi za nje.

Akihutubia mkutano wa hadhara kwenye Uwanja wa Mwembetogwa, Iringa jana, Mchungaji Msigwa alisema anashangaa Serikali ya CCM kushindwa kumchukulia hatua.
 
Mchungaji Msigwa alidai kuwa tembo wapatao 75 wamekuwa wanauawa kila siku kutokana na tatizo hilo kufumbiwa macho na Serikali.Kwa Habari zaidi Bofya na Endelea.......

No comments :

Post a Comment