Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, April 2, 2013

Msanii Shilole,Hellen Kazimoto wazua jambo jijini Mwanza kwa kuwamwagia radhi Wazungu




Vijana wa Skylight Band Kutoka kushoto ni Sam Mapenzi, Joniko Flower na Sony Masamba wakijitambulisha kwa mashabiki wa Band hiyo kwa staili ya aina yake jijini Mwanza katika ukumbi wa Villa Park Resort Jumatatu ya Pasaka
Aneth Kushaba AK 47 , Sam Mapenzi na Mary Lukas wakitoa burudani kwa wazi wa Mwanza.
Mary Lukas, Sony Masamba na Aneth Kushaba AK 47 wakitoa burudani kwa wakazi wa Mwanza.
Mashabiki wakicheza huku wakichukua picha za ukumbusho.
Dr. Sebastian Ndege akimtunza mijihela Sony Masamba.
Kikosi kazi cha Skylight Band kikicheza Sebene.
Nyomi la wakazi wa Mwanza ambao ni mashabiki wa Skylight Band wakijimwaga ndani ya Villa Park Resort.
Kwaito ilihusika pia.
Aneth Kushaba AK 47 akicheza na shabiki wake jukwaani.

No comments :

Post a Comment