Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, April 21, 2013

YANGA YAICHAPA JKT RUVU 3-0



Mshambuliaji wa JKT Ruvu, Mussa Mgosi akimtoka beki wa Yanga Mbuyu Twite katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliuofanyika lleo kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam. Yana ilishinda 3-0. (Picha na Habari Mseto Blog)
 Shabiki wa Yanga akichukua matukio ya uwanjani.
Mashabiki wa Yanga wakishangilia ushindi wa timu yao huku wakiwa na mfano wa kombe la Ligi Kuu.

No comments :

Post a Comment