Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, April 21, 2013

DIAMOND,LINAH NA TMK FAMILY WAFANIKISHA MKUTANO WA CCM MOROGORO



 Kundi la TMK Wanaume Family likishambulia jukwaa wakati wa mkutano wa CCM uliofanyika leo kwenye Kiwanja cha Ndege mjini Morogoro
Msanii Temba wa TMK Family akifanya mambo
 Msanii wa kizazi kipya Lina Sanga akitumbuiza katika mkutano wa hadhara wa CCM kwenye viwanja vya Sbaaba, mjini Morogoro.PICHA ZOTE NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Msanii wa kizazi kipya Naseeb Abdul 'Diamond' akiwa amebebwa alipokuwa akitumbuiza katika mkutano wa hadhara wa CCM kwenye viwanja vya Kiwanja cha Ndege, mjini Morogoro
 Msanii wa kizazi kipya Naseeb Abdul 'Diamond'akitumbuiza katika mkutano wa hadhara wa CCM , mjini Morogoro

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akihutubia katika mkutano huo

No comments :

Post a Comment