Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, April 25, 2013

MWINGINE AKAMATWA KWA UCHAFUZI WA MAZINGIRA IRINGA MJINI ALIKUWA AKIBANDIKA MATANGAZO CHEKA NAO



Kijana  Masha  Yusuph mkazi wa  Iringa akiwa  ofisi ya mwanasheria  wa Halmashauri ya  manispaa ya  Iringa Bw Inocent Kihaga  (kulia) baada ya  kukamatwa  na mgambo  wa Manispaa hiyo akichafua ukuta  wa bustani ya Manispaa kwa kubandika matangazo ya  Voda  Com  bila  kibali
Mgambo  wa Manispaa ya  Iringa  wakiwa  wamemweka  chini ya ulinzi kijana Masha  Yusuph  kwa  kuchafua mji
Hapa   wakimtaka  kijana  huyo kuokota takataka  alivyokuwa akizitupa ovyo baada ya  kubandika matangazo ya Voda
Hapa  akipelekwa  ofisi  za Mwanasheria  kupigwa faini ya  shilingi 50,000 kwa  uchafuzi  wa mazingira


Hapa  akiingizwa katika  ofisi  za Mwanasheria

No comments :

Post a Comment