Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, April 30, 2013

WESTERN UNION YAKABIDHI ZAWADI KWA WSHINDI WA PROMOSHENI YA UEFA



  Mkuu wa Huduma za Usafirishaji Fedha wa Benki ya DTB, Chandni Jiwa (wa pili kushoto) akikabidhi tiketi ya kwenda na kurudi Uholanzi kwa Quraish Omari Shindo mmoja wa washindi wa promosheni ya Shinda Tiketi Kuona Fainali za Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA) iliyokuwa ikiendeshwa na Western Union katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo. Wengine kutoka kushoto ni, Meneja Masoko na Utafiti wa Benki ya Watu wa Zanzibar (TBZ), Seif Suleiman Mohammed na Meneja wa Benki ya Posta Tanzania  Tawi la Samora), Deo Kayega.
 Meneja wa Tawi la Samora wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Deo Kayega (wa tatu kushoto) akikabidhi zawadi ya king’amuzi kwa Nicetus Joseph, mmoja wa washindi wa promosheni ya Shinda Tiketi Kuona Fainali za Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA) iliyokuwa ikiendeshwa na Western Union katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo. Wengine kutoka kushoto ni, Meneja Masoko na Utafiti wa Benki ya Watu wa Zanzibar (TBZ), Seif Suleiman Mohammed na Mkuu wa Huduma za Usafirishaji Fedha wa Benki ya DTB, Chandni Jiwa.
 Meneja Masoko wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Andrew Chimazi (kushoto) akionyesha mfano wa tiketi ya kwenda na kurudi Uholanzi atakayopewa mshindi wa promosheni ya Shinda Tiketi Kuona Fainali za Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA) iliyokuwa ikiendeshwa na Western Union katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo. Wengine kushoto kwake ni, Meneja Masoko na Utafiti wa Benki ya Watu wa Zanzibar (TBZ), Seif Suleiman Mohammed na Mkuu wa Huduma za Usafirishaji Fedha wa Benki ya DTB, Chandni Jiwa.
Mkurugenzi ya Kampuni ya twenty4 Brand Communications, Monte Bilal Ikoa (kushoto) akizungumza katika hafla ambayo Western Union walikabidhi zawadi mbalimbali kwa washindi wa promosheni ya Shinda Tiketi Kuona Fainali za Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA) iliyokuwa ikiendeshwa na Western Union, hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo.

No comments :

Post a Comment