Mchuano ya Mabara ya Jumuia ya madola iliyopagwa kufanyika Desemba mwaka huu mjini Abuja nchini Nigeria imepigwa kalenda hadi hapo itakapotangazwa tena.
Akiongea na kipindi cha Michezo na Burudani Katibu Mkuu wa chama cha mchezo huo hapa nchini TAHA, Nicolas Mihayo amesema timu ya taifa ya Tanzania imepata nafasi ya kuarikwa katika michuano hiyo pamoja na Cameroon na India.
Amefafanua kuwa kusogezwa mbele michuano kutasaidia kujiandaa vyema katika ushiriki huo kwa kuwa timu ya Tanzania itachaguliwa katika michuano ya Afrika Mashariki na kati yatakayoanza Novemba 14 visiwani Zanzibar.
MIMEA VAMIZI NI TISHIO KWA IKOLOJIA YA HIFADHI ZETU, BALOZI POLEPOLE
-
Balozi wa Tanzania nchini Cuba Mhe. Humprey Polepole amesema uwepo wa mimea
vamizi katika maeneo yaliyohifadhiwa inaathiri na kubadilisha ikolojia ya
mae...
1 day ago
No comments :
Post a Comment