Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, November 16, 2009

WUSHU - KUZINDUA RASMI FEBRUARI 2010

Ungozi wa chama cha Wushu Tanzania wanatarajia kuzindua chama hicho mwanzoni mwa February
mwakani ili kujulisha wachezaji na wapenzi kutambua kuwepo kwa chama hicho.
Akizungumza na kipindi cha michezo cha Radio Times FM Rais wa Mchezo huo hapa nchini Mwarami Shaweji Mitete amesema kwa muda mrefu walifanya jitihada za kusajili chama hicho ndipo mwezi Agost mwaka huu na uzinduzi huo utakuwa kama changamoto ya kukutana na wachezaji mbalimbali na kupanga mikakati ya pamoja.
Amesema kwasasa chama hicho kinaendeshwa bila kuwa na fedha za kutosha kutokana na viongozi kukosa fedha kwa wadhamini mbalimbali.Hata hivyo Wachezaji watano waliondoka wiki iliyopita nchini China kushiriki mafunzo ya mwaka mmoja wamefika salama isipokuwa wana matatizo ya kiafya inayosababishwa na hali ya hewa.
Wachezaji hao ni Omary Upinde, Ramadhani Maneno, wachezaji wawili kutoka katika kundi la mama Afrika, na wawili kutoka katika kundi la Bagamoyo.
Wushu ni mjumuiko wa michezo ya kichina inayochezwa na sakarakasi, Kungfuu, Taichii na Tajakwan.

No comments :

Post a Comment