mwakani ili kujulisha wachezaji na wapenzi kutambua kuwepo kwa chama hicho.
Akizungumza na kipindi cha michezo cha Radio Times FM Rais wa Mchezo huo hapa nchini Mwarami Shaweji Mitete amesema kwa muda mrefu walifanya jitihada za kusajili chama hicho ndipo mwezi Agost mwaka huu na uzinduzi huo utakuwa kama changamoto ya kukutana na wachezaji mbalimbali na kupanga mikakati ya pamoja.
Amesema kwasasa chama hicho kinaendeshwa bila kuwa na fedha za kutosha kutokana na viongozi kukosa fedha kwa wadhamini mbalimbali.
Wachezaji hao ni Omary Upinde, Ramadhani Maneno, wachezaji wawili kutoka katika kundi la mama Afrika, na wawili kutoka katika kundi la Bagamoyo.
Wushu ni mjumuiko wa michezo ya kichina inayochezwa na sakarakasi, Kungfuu, Taichii na Tajakwan.
No comments :
Post a Comment