Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, November 3, 2009

SIMBA NA YANGA WAINGIZA MILIONI 400

Jumla ya shilingi milioni mia nne ishirini laki mbili na thelathini na tano elfu 420,235,000 zimepatikana katika mchezo uliochezwa Octoba 31 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam kati ya Yanga na Simba.
Akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa TFF Katibu Mkuu wa Shirikisho la mpira wa miguu nchini Tanzania Fredrick Mwakalebela amesema katika mtanange huo uwanja ulikusanya watu arobaini na nane elfu laki sita na na themanini na saba elfu 48,687.
Mwakalebela ameongeza kuwa Tiketi za madaraja matatu ziuliuuzwa zote ambazo ni 5000,7000, na 10,000. lakini kwa tiketi za VIP A, B na C mkabala na jukwaa kuu kwa tiketi za elfu ishirini ziliuuzwa chache.
Wakati huo huo Mwakalebela amevukumbusha Vilabu vyote vinavyoshiriki Ligi kuu Tanzania bara kuwa kipindi kifupi cha usajili cha msimu wa 2009 -2010 kuwa kimeaanza Novemba 1 kama ilivyoainishwa kwenye kalenda ya Tff.

No comments :

Post a Comment