Luis Sendeu Akizungumza bila kumeza mate wala kusita na waandishi wa vyombo mbali mbali vya Habari za michezo katika Jengo lenye Mvuto pengine kuliko vilabu vyote amesema wameamua kuutangazia Umma juu ya hatma ya mchezaji huyo kuwa kwa sasa hawatakuwa naye.
Yanga katika hatua nyingine wamewakumbusha Wanachama wao kuwa waanze kuzilipia kadi zao kabla ya uchaguzi hapo mewakani.
No comments :
Post a Comment