Akizungumza na waandishi wa habari Kocha mkuu wa Timu hiyo Charles Bonifas Mkwasa amesema wachezaji wote wanatakiwa waripoti Ijumaa jioni mazoezini kwa kipindi chote kabla ya kwenda Nigeria.
Mashindano hayo yajulikanayo West Africa Football Union ambapo kuna timu kama Nigeria ,Ghana,Guinea,Senegal,Sieraleon Mali, na Tanzania kama wageni waalikwa.
No comments :
Post a Comment