Klabu ya Yanga imekanusha kupokea taarifa ya kurejea kwa wachezaji iliyowauza kwa mkopo katika klabu ya Moro United na African Lyon.
Lusi Sendeu ni Afisa Habari wa klabu ya Yanga amesema taariaf hizo nao wamezisikia katika vyombo vya habari lakini hawana taarifa nazo, na kudai pindi zitakapowafikia watalifanyia kazi na kutoa maamuzi.
Taarifa za kuaminika mchezaji Casto Mumbala aliyekuwa akicheza kwa mkopo African Lyon na Abubakari Mtiro aliyekuwa kwa mkopo Moro Unted imebainishwa wametemwa kufuatia viwango vyao kushuka.
RC PWANI: SERIKALI ITABORESHA MIUNDOMBINU KUVUTIA WAWEKEZAJI ZEGERENI
-
Serikali Kuboresha Miundombinu ya Umeme na Barabara Kukuza Uwekezaji
Zegereni
Serikali imepanga kuboresha miundombinu ya umeme na barabara katika Eneo la...
3 hours ago
No comments :
Post a Comment