Katibu mkuu wa Chama cha Makocha hapa nchini TAFCA Egini Mwasamaki ameomba watanzania wakae kimya na waache kumuingilia kocha mkuu Mbrazil Maxio Maximo ili afanye kazi yake vizuri.
Akizungumza na kipindi cha michezo cha Radio Times FM Mwasamaki amesema Maximo yeye ni kocha ambaye anaifahamu vyema kazi yake na mchezo iliyochezwa Misri na Yemeni ni majaribio na si ushindani hivyo si lazima timu ifunge.
Aidha ameongeza kwamba kitendo cha kumkosoa na kumzomea hakijengi ila anapofanya vizuri pia asifiwe na ushauri si lazima haupokee na kuufanyia kazi bali silaha ya kufundiosha anayo mwenyewe.
FALIALA MBUTU KUZIKWA JUMATATU DISEMBA 29
-
Mazishi ya mwanamuziki Faliala Mbutu ambaye alikua mume wa mwanamuziki
mkongwe wa muziki wa dansi Luiza Mbutu yatafanyika Jumatatu tarehe
Desemb...
5 hours ago
No comments :
Post a Comment