Mabingwa watetezi Yanga wamekamilisha mzunguko wa kwanza wa ligi kuu Tanzania Bara kwa kuizaba timu ya Tanzania Prison kwa Jumla ya magoli 4-2 katika mchezo uliyopigwa uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.
mashujaa wa Yanga katika mchezo huo alikuwa ni Mrisho Khalfani Ngasa aliyefunga magoli mawili, Kigi Makasi na Athumani Iddi Chuji kwa shuti la mbali.
Magoli ya Tanzania Prison yalifungwa na John Matei na Jackob Ibrahim.
Yanga imemaliza msunguko wa kwanza wa Vodacom Premiur League ikiwa imejikusanyia jumla ya pointi 21 ikishika nafasi ya tatu nyuma ya Azam FC inayoshikilia nafasi ya pili huku wakiwa pointi 12 nyuma ya vinara wa ligi hiyo Simba wenye pointi 33.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment