Zaidi ya timu kumi za mchezo wa ngumi zimethibitisha kushiriki mashindano ya mchezo huo ya vijana yanayotarajiwa kuanza Nov 24 hadi 29 mwaka huu kwenye uwanja wa ndani wa Taifa uliopo jijini hapa.
Katibu Mkuu wa Chama cha Ngumi za ridhaa hapa nchini BFT, Makore Mashaga amefahamisha kwamba mashindano hayo ya kutafuta klabu bigwa ya vijana vijana inashirikisha wachezaji kutoka klabu zote hapa nchini.
klabu zilizothibitisha ni Sifa, Magereza, JKT, Kariakoo, Azimio, Mavituz, Mtoni, Mbagala, Makongo, Urafiki, Mlandizi, Luaha Galax na Temeke.
RC PWANI: SERIKALI ITABORESHA MIUNDOMBINU KUVUTIA WAWEKEZAJI ZEGERENI
-
Serikali Kuboresha Miundombinu ya Umeme na Barabara Kukuza Uwekezaji
Zegereni
Serikali imepanga kuboresha miundombinu ya umeme na barabara katika Eneo la...
2 hours ago
No comments :
Post a Comment