Zaidi ya timu kumi za mchezo wa ngumi zimethibitisha kushiriki mashindano ya mchezo huo ya vijana yanayotarajiwa kuanza Nov 24 hadi 29 mwaka huu kwenye uwanja wa ndani wa Taifa uliopo jijini hapa.
Katibu Mkuu wa Chama cha Ngumi za ridhaa hapa nchini BFT, Makore Mashaga amefahamisha kwamba mashindano hayo ya kutafuta klabu bigwa ya vijana vijana inashirikisha wachezaji kutoka klabu zote hapa nchini.
klabu zilizothibitisha ni Sifa, Magereza, JKT, Kariakoo, Azimio, Mavituz, Mtoni, Mbagala, Makongo, Urafiki, Mlandizi, Luaha Galax na Temeke.
KATIBU MKUU CCM AFUNGUA MAFUNZO YA UONGOZI NA UTAWALA BORA
-
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Asha-Rose Migiro, leo
Jumatatu,Machi 9,2026, amefungua rasmi mafunzo maalum ya Uongozi na Utawala
Bora ...
19 hours ago
No comments :
Post a Comment