Simba imevunja rekodi hiyo ya Yanga iliyowekwa msimu uliyopita baada ya kuwazamisha mabingwa Ngao ya Hisani Mtibwa Suger katika mchezo uliyopigwa kunako uwanja wa Uhuru.
Wauaji wa Simba ni Mussa Hassan Mgosi, Uhuru Suleiman na David Naftari aliyefunga goli la tatu akiunganisha mpira uliyopigwa na Emmanuel Okwi.
Simba imemaliza duru la kwanza la ligi kuu ikiwa inaongoza kwa jumla ya pointi 33 ikiwa haijapoteza mchezo hata mmoja.
No comments :
Post a Comment