Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, akimkabidhi bajaji mpya mlemavu wa miguu
ambaye ni mfanyakazi wa TANROADS Bi.Sarah Nalingigwa Nkumbo.
Makabidhiano hayo yalifanyika Ikulu mjini Dodoma leo asubuhi. Kulia ni
Waziri wa Ujenzi John Pombe Magufuli.Wapili kushoto ni mke wa Rais Mama
Salma Kikwete na kushoto ni mkurugenzi Mkuu wa TANROADS Injinia Patrick
Mfugale. Bi. Sarah ambaye ni Mfanyakazi wa TANROADS mkoani Singida
alikabidhiwa Bajaji hiyo ikiwa ni ahadi ya Rais alipokuwa akifungua
Barabara ya Manyoni- Itigi Picha na Freddy Maro
YANGA YAANZA VIZURI MASHINDANO YA CAF.
-
Kwa mara ya kwanza YANGA imefuta uteja wa kushindwa kupata matokeo mechi
za kwanza za makundi katika michuano ya kimataifa.
Ushindi wa goli moja ulitos...
1 day ago
No comments :
Post a Comment