Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, akimkabidhi bajaji mpya mlemavu wa miguu
ambaye ni mfanyakazi wa TANROADS Bi.Sarah Nalingigwa Nkumbo.
Makabidhiano hayo yalifanyika Ikulu mjini Dodoma leo asubuhi. Kulia ni
Waziri wa Ujenzi John Pombe Magufuli.Wapili kushoto ni mke wa Rais Mama
Salma Kikwete na kushoto ni mkurugenzi Mkuu wa TANROADS Injinia Patrick
Mfugale. Bi. Sarah ambaye ni Mfanyakazi wa TANROADS mkoani Singida
alikabidhiwa Bajaji hiyo ikiwa ni ahadi ya Rais alipokuwa akifungua
Barabara ya Manyoni- Itigi Picha na Freddy Maro
RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ATOA MKONO WA EID KWA WENYE UHITAJI DODOMA
-
Mkuu Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule Machi 30,2025 amekabidhi kwa
niaba ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari Samia
Suh...
4 hours ago
No comments :
Post a Comment