Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, February 27, 2013

MFALME WA SAUDI ARABIA ATEMBELEA BENKI YA EXIM



 Mtoto wa Mfalme wa Saudi Arabia Amr Al Faisal (kulia) akijadiliana jambo na Mkurugenzi Mtendaji Mtendaji Mkuu wa Benki ya Exim Dinesh Arora (kushoto) wakati alipotembelea makao makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam Jana. Kati kati ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Exim Anthony Grant . (Na Mpiga Picha Wetu)
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Exim Anthony Grant (kushoto) akijadiliana jambo na Mtoto wa Mfalme wa Saudi Arabia Amr Al Faisal (kulia) alietembelea makao makuu ya benki hiyo jana. Kati kati ni Balozi wa Sudan nchini Tanzania Dr. Yassir Ali.

No comments :

Post a Comment