Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, February 11, 2013

NMB YATOA MADAWATI SHULE YA MSINGI MWANANYAMALA KISIWANI




 Wanafunzi wa Shule ya Msingi Mwananyamala Kisiwani wakiangalia madawati waliyokabidhiwa na benki ya NMB
 Menejawa NMB tawi la NMB House Benedictor Byabato akimkabizi Madawati yenye thamani ya shilingi Milioni Tano mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Mwananyamala Kisiwani, Method Rugambarara. Madawati hayo ambayo benki ya NMB imeyatoa ili kupunguza uhaba wa madawati unaoikabiri shule hiyo .Makabidhiano hayo yalifanyika katika viwanja vya shule hiyo jijini Dar esalaam.

Wanafunziwa Shule Msingi, Ubungo Kisiwani wakiwa wamekaa kwenye madawati yaliyotolewa na benki ya NMB.

Na Mwandishi Wetu

NMB imekuamsatari wa mbele kutatua matatizo yanayooikumba jamii na hili inadhiirishwa na misaada mbalimbali ambayo inatolewa na benki hii kwa wahitaji tofauti tofauti. Hakuna asie jua miundombinu ya shule zetu za msingi hata sekondari jinsi ilivyo. Kwa kulitambua hili Benkiya NMB imekua mstari wa mbele kutatua tatizo la madawati kwa shule hizi .Hivi karibuni Shule ya msingi Mwananyamala Kisiwani jijini Dar es salaam ilipata neema hiyo ingawa bado mahitaji ni makubwa,

No comments :

Post a Comment