Meneja
Mawasiliano wa
Vodacom Tanzania Bi.Rukia Mtingw(kulia) akiongea na Mshindi kwenye simu
ya mezani
wakati wa Droo ya kuwapata washindi wa shilingi Milioni 5 na
Milioni moja katika Promosheni ya"MAHELA"inayoendeshwa na
kampuni hiyo,ambapo wafanyabiashara ndogondogo wa Kagera na Dar es
Salaam, Rashid Kagombora na Adam Ramadhan wamejinyakulia kitita cha
shilingi Milioni
5. Wanaoshuhudia kushoto ni Meneja Uhusiano wa Kampuni hiyo, Matina
Nkurlu, Benjamin Michael,
ambaye ni Maneja wa Huduma za Ziada na Afisa Mkaguzi kutoka bodi ya
michezo ya
kubahatisha Tanzania Bi.Chiku Salehe, Mteja anatakiwa kutuma
neno"MAHELA"kwenda
namba 15544 na kuweza kujishindia.Zaidi ya shilingi Milioni 400
zinaendelea
kushindaniwa. Picha kwa Hisani ya Vodacom Tanzania.
TUME YA TOA KIBALI KWA ASASI 256 KUFANYA KAZI WAKATI WA UCHAGUZI MKUU 2025
-
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetoa vibali vya kutoa elimu ya
mpiga kura wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 kwa t...
1 day ago
No comments :
Post a Comment