Meneja
Mawasiliano wa
Vodacom Tanzania Bi.Rukia Mtingw(kulia) akiongea na Mshindi kwenye simu
ya mezani
wakati wa Droo ya kuwapata washindi wa shilingi Milioni 5 na
Milioni moja katika Promosheni ya"MAHELA"inayoendeshwa na
kampuni hiyo,ambapo wafanyabiashara ndogondogo wa Kagera na Dar es
Salaam, Rashid Kagombora na Adam Ramadhan wamejinyakulia kitita cha
shilingi Milioni
5. Wanaoshuhudia kushoto ni Meneja Uhusiano wa Kampuni hiyo, Matina
Nkurlu, Benjamin Michael,
ambaye ni Maneja wa Huduma za Ziada na Afisa Mkaguzi kutoka bodi ya
michezo ya
kubahatisha Tanzania Bi.Chiku Salehe, Mteja anatakiwa kutuma
neno"MAHELA"kwenda
namba 15544 na kuweza kujishindia.Zaidi ya shilingi Milioni 400
zinaendelea
kushindaniwa. Picha kwa Hisani ya Vodacom Tanzania.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment