Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, February 21, 2013

WEMA ATAMBULISHA RASMI OFISI YAKE MPYA "ENDLESS FAME FILM"



 Siku chache baada ya msanii wa tasnia ya filamu Bongo, Wema Abrahamu Sepetu kutangaza kuwa anamiliki kampuni mpya ya filamu"Endless Fame Film" leo mchana aliweza kufanya press conference na waandishi mbalimbali huku akitambulisha rasmi kampuni hiyo.
Kwa mujibu wa msanii huyu alisema kwamba kwasasa bado ofisi yake haijaanza kufanya kazi ila inatarajia rasmi kuanza kazi mwezi wa tatu mwaka huu.@Wema alisema....

    Tazama picha za ofisi yake mpya 'Endless Fame Film' iliyoitambulisha leo rasmi.......











                                                               Wema na Zamaradi
                                                                  Wema na Dotnata
                                                                     Wema na Rich
                                                                        Cloud na JB PICHA ZAIDI http://www.djfetty.blogspot.com/2013/02/wema-atambulisha-rasmi-ofisi-yake-mpya.html

No comments :

Post a Comment