Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, February 21, 2013

Floyd Mayweather ala mkataba mnono


Floyd Mayweather
 
BONDIA bingwa wa Dunia mkanda wa WBC Floyd Mayweather Jr  ambaye ajawai kupigwa wara kutoka droo rekodi yake won 43 (KO 26) + lost 0 (KO 0) + drawn 0 = 43  ameingia mkataba wa kumwezesha kupigana hadi mara sita zaidi ya kipindi cha miezi 30. mkataba uho mnono utakao mfanya awe mwana michezo wa kwanza duniani kuingia mkataba mkubwa kuliko mwana michezo yoyote 

Mkataba uho utanza kwa mara ya kwanza kwa kupambana na Robert Guerrero Mei 4 ambapo kuna mfanya awe na mpambano mmoja tangia mwaka jana mei 5 kumtwanga bondia Miguel Cotto na kuamliwa kwenda jela baada ya kuitalifiana na mpenzi wake tangia atoke jela ajawai kucheza na ndipo anapokutana na Robert Guerrero mwenye rekodi won 31 (KO 18) + lost 1 (KO 0) + drawn 1 = 35 

Mkataba huo utausisha matangazo mbali mbali ya kwenye TV yatakayo muwezesha kumiliki mlungula kwa kwenda mbele kwa kipindi chote hicho bondia huyo anayekubalika kwa sasa hususani kwa stayl yake ya kujikinga na kupiga kumi kwa kushtukiza

No comments :

Post a Comment