Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, February 28, 2013

SAFARI LAGER YAFUNGA ZOEZI LA FOMU ZA PROGRAMU YA “SAFARI LAGER WEZESHWA”.


 Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kufunga zoezi la kuchukua na kurudisha fomu za kuomba ruzuku ya Safari Lager Wezeshwa Dar es Salaam jana.Kulia ni Jaji Mkuu wa Programu hiyo, Joseph Migunda.
 Jaji Mkuu wa Programu ya Safari Lager Wezeshwa, Joseph Migunda (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kufunga zoezi la kuchukua na kurudisha fomu za kuomba ruzuku ya Safari Lager Wezeshwa Dar es Salaam jana.Kushoto ni Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscar Shelukindo
.
Dar es Salaam, Alhamisi 28 February 2013: Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Safari Lager leo imefunga  rasmi zoezi fomu za ushiriki wa programu ya wajasiriamali ya “Safari Lager Wezeshwa” msimu huu.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo Meneja wa bia ya Safari Lager Bw. Oscar Shelukindo alisema kwamba zoezi la fomu za ushiriki wa Programu ya Safari Lager Wezeshwa msimu huu tumelifunga rasmi leo. Baada ya hapa fomu hizo zitakusanywa kutoka katika vituo vyote na kukabidhiwa kwa majaji kwa ajili ya kuzifanyia kazi.

No comments :

Post a Comment